Kazi za Baraza Kuu hazikomi
Baada ya mikutano ya ngazi ya juu ya Baraza Kuu iliyofanyika mwezi Septemba, kazi za msingi zinaendelea katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York. Kazi hizi hufanyika kupitia Kamati Kuu (Main committees) zake, ambapo maamuzi muhimu kuhusu shughuli na...
Yaliyojiri leo Alhamis Septemba 27, 2018, kwenye #UNGA
Viongozi wa Palestina, Israel na Comoro waongea kwenye siku hii ndefu ndani ya baraza kuu la Umoja wa Mataifa. Magonjwa yasiyo ya kuambukiza na ukatili wa kijinsia ni baadhi ya mada zilizozungumzwa pia. Magonjwa yasiyo yakuambukizwa husababisha asilimia 70 ya vifo...
Yaliyojiri leo Jumatano Septemba 26, kwenye #UNGA
Kutoka silaha za nyuklia hadi ugonjwa wa TB, vikaragosi na waigizaji filamu… Makao makuu ya Umoja wa Mataifa yalipamba moto. Marais wameendelea kuhutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa. Jumatano tarehe 26 ilikuwa ni siku ya pili ya mjadala wa wazi wa Baraza Kuu la...