18 Septemba 2018: Ufunguzi wa kikao cha 73
24 Septemba 2018
- Mkutano wa Amani wa Nelson Mandela
- Kufadhili Ajenda ya 2030 ya Maendeleo Endelevu. [iliyoitishwa na Katibu Mkuu]
25 Septemba – 1 Octoba 2018: Mjadala Mkuu wa kila mwaka
25 Septemba 2018: Hatua kwa ulinzi wa amani. [iliyoitishwa na Katibu Mkuu]
26 Septemba 2018:
- Mapambano ya kutokomeza kifua kikuu [iliyoitishwa na rais wa Baraza Kuu]
- Maadhimisho na uchocheaji wa Siku ya Kimataifa ya Kutokomeza Silaha za Nyuklia. [iliyoitishwa na rais wa Baraza Kuu]
27 Septemba 2018: Tathmini kamili ya kuzuia na kudhibiti magonjwa yasiyo ambukizwa. [iliyoitishwa na rais wa Baraza Kuu]